Revelation of John 21:23-25

23 aUle mji hauhitaji jua wala mwezi kuuangazia, kwa sababu utukufu wa Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye taa yake. 24 bMataifa yatatembea yakiangaziwa na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta fahari yao ndani yake. 25 cMalango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo.
Copyright information for SwhKC